Mwanafunzi wa darasa la Tano, Shule ya Msingi Ndola Mbalizi Abubakari Shabani Mwamba akichangia shilingi 400 katika harambee ya ujenzi wa hosteli za Kike Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera akichangia harambee ya ujenzi wa Hosteli ya wanafunzi wa kike wa Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya jijini humo leo Mei 25,2023.
MBEYA CAMPUS COLLEGE Forest Area - Mbeya City Mzumbe University P.O.Box 6559, Mbeya, Tanzania Tel: +255 (0) 252502863 /57/58 Fax: +255 (0) 252502862 email: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.